iqna

IQNA

Janga la Corona
TEHRAN (IQNA) – Pakistan imewaweka katika karantini watui 20,000, na inawasaka maelifu yaw engine, walioshiriki katika mjumuiko wa Waislamu ambao ni maarufu kama Ijtimai katika mji wa Lahore mwezi uliopita, huku janga la COVID-19 au corona likiendelea kuwa mbaya nchini humo.
Habari ID: 3472646    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/08